IOM na Japan wapiga jeki juhudi za kuzuia magonjwa
Shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji, IOM na serikali ya Japan wamezindua mradi wa pamoja kwa mwaka mmoja kwa ajili ya kusaidia watu wanaokabiliwa na milipuko ya magonjwa, majanga ya asili na wanaorejea nchini Burundi.