Ukatili dhidi ya wanawake umeghubikwa na kimya kinachowapatia upenyo watekelezaji- Bi. Patten
Katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani, kumefanyika tukio maalum la kuadhimisha siku ya kimataifa ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake inayaoshiria kuanza kwa siku 16 za harakati za kupinga ukatili kwa wanawake na wasichana.