Wanawake Nigeria wanavyopinga unyanyapaa dhidi ya warejeao baada ya kushindwa kuhamia Ulaya
Simulizi za wasichana raia wa Nigeria wanaorejeshwa makwao baada ya ndoto zao za kutaka kukimbilia Ulaya kutafuta maisha mazuri kukwamia njiani nchini Libya ambapo wengi wanajikuta katika maisha magumu ikiwemo kulazimishwa kutumbukia kwenye biashara ya ukahaba.