Ongezeko la watu duniani ifikapo Novemba 2022 inaweza kuwa baraka au laana
Umoja wa Mataifa tarehe 11 mwezi Julai 2022 ilitangaza kwamba idadi ya watu duniani inatarajiwa kufikia bilioni 8 mnamo tarehe 15 Novemba 2022 ikiwa ni hatua muhimu kwa ubinadamu na ikaenda mbali zaidi kutangaza kuwa mwaka 2023 India inakadiriwa kuwa nchi yenye watu wengi zaidi, kuipita China.