Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Makala Maalum

UN Ethiopia/Getachew Dibaba
Takriban mifugo milioni moja wamekufa kutokana na ukame katika eneo la Somali nchini Ethiopia.

Huu ni ukame mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa miaka 40, Mamilioni ya Waethiopia hatarini:UN

Jimbo la Somali lilioko Mashariki mwa Ethiopia limekumbwa na misimu mitatu ya kiwango kidogo cha mvua kilicho chini ya wastani, hali ambayo inazidisha madhila  ya kibinadamu kwa watu wapatao milioni 3.5, ambao ni zaidi ya nusu ya wakazi wa eneo hilo ambao tayari walikuwa katika shida.