Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Makala Maalum

Lori lililoratibiwa UNICEF Afrika Kusini na idara za afya za nchi hiyo limekuwa likionyesha video na kutoa matangazo ya watu kuelezea hadithi zao kuhusu COVID-19 kote Afrika Kusini kwa kutumia lugha yao ya mama na kuhamasisha ujumbe wa kupokea chanjo
© UNICEF South Africa

Safari ya lori kuelimisha jamii kuhusu COVID-19 imenifunza mengi:Ntlabati 

Pumla Ntalabati ni mfanyakazi mshauri wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF nchini Afrika Kusini, anasema janga la corona au COVID-19 limemfundisha za mengi, kuanzia amri ya watu kusalia majumbani hadi safari yam ilima na mabonde ya kuelimisha umma katika jimbo la Kwazulu Natal kwa kutumia usafiri wa lori la magurudumu 18. 

Muuguzia nchini Ghana akimchoma mwanamke chanjo ya Corona
© UNICEF/Apagnawen Annankra

Benki ya Dunia yaingilia kati kukabili uhaba wa chanjo Afrika

Katika kufanikisha lengo la Muungano wa Afrika, AU kuhakikisha asilimia 60 ya wakazi wa bara lake wamepatiwa chanjo dhidi ya ugonjwa wa Corona au COVID-19 ifikapo mwaka 2022, Benki ya Dunia na AU wametangaza ubia wa kuunga mkono mpango wa kikosi kazi cha Afrika cha kupata chanjo hizo, AVATT utakaoruhusu nchi za Afrika kununua na kusambaza dozi za chanjo kwa ajli ya watu milioni 400 barani kote.

Sauti
1'55"