Pfizer yahitaji -70℃, AstraZeneca 2 °C hadi 8 °C sasa ipi inafaa wapi na kwa nini?
Ugonjwa wa virusi vya Corona au COVID-19 ulitangazwa na shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni, WHO kuwa janga la afya ya umma duniani tarehe 30 mwezi Januari mwaka 2020.