Hatua dhidi ya mabadiliko ya tabianchi zinaweza kukuza utu, fursa na usawa: Mohammed
Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Amina J. Mohammed ameshiriki katika majadiliano ya TED yanayosisitiza fursa za kuondokana na mgogoro wa mabadiliko ya tabianchi kwa kuchangisha fedha zaidi na mshikamano, wakati huu ambao "fursa bado ipo".