Hofu yaendelea wakati tsunami ya COVID-19 ikighubika India
Mfanyikazi wa Umoja wa Mataifa nchini India ameelezea kuongezeka kwa kiasi kikubwa kwa maambukizi ya virusi vya corona au COVID-19 ambako ni nchini mwaka katika siku za hivi karibuni kama ni "tsunami", na amezungumzia "hofu" aliyohisi, wakati familia yake ya karibu ilipoambukizwa virusi hivyo.