NENO LA WIKI - METHALI: Ndugu chungu jirani mkungu
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo, Dkt. Mwanahija Ali Juma ambaye ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA anafafanua maana ya methali Ndugu chungu, jirani mkungu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo, Dkt. Mwanahija Ali Juma ambaye ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA anafafanua maana ya methali Ndugu chungu, jirani mkungu!
Katika kujifunza Kiswahili, mchambuzi wetu Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia methali "NYIMBO ZA KUFUNZWA HAZIKESHI NGOMA”
Je wafahamu maana ya methali hiari yashinda utumwa? Kama la, hii leo mchambuzi wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana yake.
Leo katika kujifunza Kiswahili Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, la ZANZIBAR, BAKIZA, Dkt. Mwanahija Ali Juma anafafanua maana ya methali "LILA NA FILA HAVITANGAMANI."
Katika kujifunza Kiswahili tunapata ufafanuzi wa methali "KUKU HAVUNJI YAILE" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA.
Leo katika kujifunza Kiswahili tunapata ufafanuzi wa maana ya methali, "IMARA YA JEMBE KAINGOJE SHAMBANI" na mchambuzi wetu ni Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani.
Karibu kujifunza Kiswahili , leo tunapata ufafanuzi wa methali "HERI KUJIKWAA KIDOLE KULIKO KUJIKWAA ULIMI" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Karibu kujifunza Kiswahili , leo tunapata ufafanuzi wa maana ya methali, "Mwendapole Hajikwai" na mchambuzi wetu ni Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani.
karibu kujifunza Kiswahili kupitia neno la wiki, leo tunapata ufafanuzi wa maana za neno "BAKI" mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Karibu kujifunza kiswahili kupitia neno la wiki, leo tuko BAKITA , Baraza la Kiswahili Tanzania kwa mtaalam Onni Sigalla , Mhariri mwandamizi akitufafanulia maana za neno “MCHEMUO”