Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno La Wiki

UN

Neno "DOKOA"

kutoka nchini Uganda,  Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika vyuo vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo anafafanua maana za neno  "DOKOA"

 

Sauti
1'7"
UN

"Ulivyoligema utalinywa"

Katika kujifunza Kiswahili, leo tunapata ufafanuzi wa maana ya methali, "Ulivyoligema utalinywa" na mchambuzi wetu ni Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani.

Sauti
58"
UN

Neno "KITAMBI"

kujifunza lugha ya Kiswahili ambapo leo tunapata ufafanuzi wa maana za neno "KITAMBI" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa  nchini Tanzania , BAKITA.

Sauti
51"
UN

Neno SHANGINGI

Leo katika kujifunza kiswahili, tunapata ufafanuzi wa neno "SHANGINGI" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa  nchini Tanzania , BAKITA.

Sauti
42"
UN

Neno "MUHUNI"

katika kujifunza Kiswahili tunapata ufafanuzi wa maana na matumizi ya neno "MUHUNI" na mchambuzi wetu ni  Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa  nchini Tanzania, BAKITA.

Sauti
52"