Neno la wiki-UZINZAJI
Katika kujifunza Kiswahili , leo tunapata ufafanuzi wa neno"UZINZAJI" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA.
Katika kujifunza Kiswahili , leo tunapata ufafanuzi wa neno"UZINZAJI" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA.
Leo katika kujifunza Kiswahili tutapata ufafanuzi wa methali "Abebwaye Hujikaza" na mchambuzi ni Josephat Gitonga, mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi, kituo cha Utafsiri na Ukalimani.".
Leo katika neno la wiki tuungane na mhariri mwandamiziwa Baraza la Kiswahili, la taifa Tanzania BAKITA, Onni Sigalla katika kujifunza Kiswahili akitufafanulia maana za Neno"SISISI".
Leo katika mashinani Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili la ZANZIBAR, BAKIZA, Dkt.MWanahija Ali Juma anafafanua maana ya methali, "UKISTAAJABU YA MUSA UTAYAONA YA FIRAUNI".
Katika Neno la wiki Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika vyuo vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo anatufafanulia "Nahau au Misemo" ni nini
Leo katika kujifunza Kiswahili, tunapata ufafanuzi wa methali, "Aingiaye pasi hodi huondoka pasi kuaga" na mchambuzi wetu ni Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani nchini Kenya.
Katika kujifunza kiswahili leo mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili, la taifa Tanzania BAKITA, Onni Sigalla anafafanua maana ya Neno"KISARAFU".
Leo tunapata ufafanuzi wa vazi "KUMBWAYA" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Leo tunapata ufafanuzi wa methali, "Wema hauozi" na mchambuzi wetu ni Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani nchini Kenya.
Leo tunapata ufafanuzi wa neno "CHAZA" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA.