Neno la Wiki- Mteremezi
Katika kujifunza Kiswahili , leo tunapata ufafanuzi wa neno "MTEREMEZI" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Katika kujifunza Kiswahili , leo tunapata ufafanuzi wa neno "MTEREMEZI" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Leo katika kujifunza Kiswahili, mchambuzi wetu Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kituo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia methali "KOSA MOJA HALIMWACHI MKE”
Karibu kujifunza lugha ya Kiswahili ambapo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA anafafanua maana ya methali Umejigeuza Pweza kujipalia makaa.
Hii leo mchambuzi wetu ni Onni Sigalla,Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania ,BAKITA akifafanua maana ya neno, Nyunyuta. Anahusisha neno hili na unyeshaji wa mvua. Ikiwa ni mvua ya manyunyu unasema, mvua nyunyuta. Karibu!
Leo katika kujifunza kiswahili tutasikia kutoka kwa mchambuzi wetu Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kituo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia methali "SHIMO LA ULIMI MDOMO HAUFUNIKI”
Katika kujifunza Kiswahili leo kutoka Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA, Katibu Mtendaji Dkt. Mwanahija Ali Juma anafafanua maana ya methali Mnyamaa kadumbu!
Leo tunapata ufafanuzi wa neno "KITABAKERO" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Je wafahamu maana ya methali "undugu wa nazi hukutana chunguni.? Nazi ya Kilwa Masoko na nazi ya Mwanerumango, au nazi ya Darajani na nazi ya Paje? Basi ungana na mchambuzi wetu hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili la Zanzibar, BAKIZA.
Hii leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Onni Sigalla ambaye ni Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anafafanua maana ya neno, shake.
Anasema shake ni ile hali anayokuwa nayo mtu kama vile furaha au huzuni ya kupitiliza lakini haionekani usoni mwake. Mtu analia kwa kwikwi bila kutoa sauti.
Hii leo katika kujifunza lugha ya kiswahili, Josephat Gitonga Mhadhiri wa Chuo Kikuu Nairobi nchini Kenya katika Kitivo cha Ukalimani anafafanua maana ya methali, Asiye na kitoweo hurumangia.