Wakimbizi wa CAR wakimbilia nchi ya DRC
Huku kukiwa na taarifa za kuendelea kwa mapigano ndani ya Jamhuri ya Afrika ya Kati ,katika mji mkuu Bangui maelfu ya raia wa nchi hiyo wanakimbia ili kutafuta hifadhi na...................... kwa sasa wamekuwa wakivuka mto uitwao Oubangui na kutafuta makazi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na katika jimbo la Orientale. Joseph Msami ameandaa taarifa ifuatayo.