Penye nia pana njia" kwa Mkimbizi Esther Nyakong
Kuwapa elimu watoto na wasichana vigori katika kambi za wakimbizi ni huduma ya msingi ya kibinadamu, lakini wengi hawana nafasi. Esther, mwenye umri wa miaka 18, hakuweza kuhudhuria shule tangu mwishoni mwa mwaka 2008 hadi 2011.