Mustakhbali wa Burundi na DRC uko mikononi mwa jumuiya ya kimataifa:
Mustakhbali wa kijamii na kisiasa kwa mataifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC na Burundi kwenye ukanda wa maziwa makuu, uko mikononi mwa nchi husika na wadau wote wa ukanda mzima, Jumuiya ya Afrika Mashariki na jumuiya ya kimataifa.
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa mkutano wa kiamatifa kuhsu eneo la Maziwa Makuu, Zachary Muburi-Muita alipozungumza na idhaa ya Kiswahi ya Radio ya Umoja wa Mataifa.