Mradi wa pamoja waleta nuru vita dhidi ya GBV-Kenya
Nchini Kenya wadau mbali mbali wanashirikiana katika kukabiliana na ukatili wa kijinsia, GBV kupitia programu ya usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake Jowege.
Programu ya pamoja kati ya Umoja wa Mataifa na serikali ya Kenya. Lengo la programu hiyo ni kuimarisha uwezo wa wahusika ili kuweza kukabiliana na kuzuia ukatili wa kijinsia.