Kenya yaboresha maisha ya makundi yaliyo katika mazingira magumu
Pakua
Moja ya malengo ya maendeleo endelevu SDGs, ni kuhakikisha hakuna kundi lolote linaloachwa nyuma, iwe ni kutokana na hali yao ya kiuchumi, kiakili au kiafya. Ingawa uchumi wa Kenya unakua, makundi mengine bado yanashuhudia kiwango cha juu cha umasikini. Je ni nini ambacho serikali ya Kenya inafanya kwa kushirikiana na Umoja wa Mataifa kuhakikisha maisha ya makundi haya yanaboreshwa?, basi ungana na Amina Hassan kufahamu zaidi...