Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

21 DESEMBA 2020

21 DESEMBA 2020

Pakua

Hii leo jaridani ni mada kwa kina na tunakwenda mkoani Mwanza nchini Tanzania ambako shirika la Amani girls home wameanzisha mradi unaowawezesha wasichana hususani wale waliokumbwa na changamoto mbalimbali za kimaisha, ili waweze kufikia malengo yao kwa kuwapa ujuzi mbalimbali. Lakini tuna Habari kwa Ufupi ikimulika Burkina Faso, Mali na kubabuka kwa matumbawe Mashinani tunabisha hodi DRC. Karibu na mwenyeji wako ni Anold Kayanda.

Audio Credit
Anold Kayanda
Audio Duration
11'25"