22 DESEMBA 2020
Pakua
Leo mwenyeji wako ni Anold Kayanda anaanzia huko Cabod Delgado nchini Msumbiji kisha Lebanon kwa wakimbizi wa Syria na halafu nchini Sudan Kusini kuangazia umuhimu wa radio katika kuelimisha umma. Makala tuko Tanzania na mashinani tunamleta kwako Angelina Jolie. Karibu!
Audio Credit
Anold Kayanda
Audio Duration
12'37"