Mkuu wa UNHCR aeeleza wasiwasi kuhusu kufungwa kwa mipaka ya Ulaya
Ulaya inachochea mzozo mkubwa zaidi wa wakimbizi ikiongeza vikwazo mipakani mwake.
Huu ni ujumbe wa Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa Wakimbizi, Filippo Grandi, akiwa ziarani Ugiriki kwenye kisiwa cha Lesvos ambako huwasili maelfu ya wakimbizi kila siku kutoka Uturuki.
(Sauti ya Bwana Grandi)