Kapteni Cecilia Erzuah ashinda tuzo ya Mchechemuzi wa masuala ya kijinsia kwenye operesheni za UN
Katibu Mkuu wa umoja huo Antonio Guterres amemtangaza Kapteni Cecilia Erzuah kutoka Ghana kuwa mshindi wa tuzo ya kila mwaka ya Mchechemuzi wa Masuala ya jinsia kwenye operesheni za ulinzi wa amani za Umoja wa Mataifa.