Ukipokea wageni nyumbani kwako vaa barakoa kama mzungumzo wa hewa hautoshelezi- WHO
Shirika la afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limetoa mwongozo wa nne kuhusu uvaaji wa barakoa kama njia mojawapo ya kujikinga na virusi vya Corona vinavyosababisha COVID-19.