Hatua maalum zahitajika kuwalinda wenye ulemavu na COVID-19:Bachelet
Kamishina Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Msataifa Michelle Bachelet amezitaka nchi kuchukua hatua maalum ili kuwajumuisha watu wenye ulemavu katika vita dhidi ya janga la virusi vya corona au COVID-19.