OHCHR yachapisha ripoti kuhusu shambulio la Hroza Ukraine
Tarehe 5 Oktoba, kombora lilipiga mgahawa katika kijiji kidogo cha Hroza Mashariki mwa Ukraine, na kuua watu 59 waliohudhuria mapokezi ya mazishi kwa mujibu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya haki za binadamu OHCHR lilikuwa moja ya matukio mabaya zaidi kwa raia tangu Februari 2022.