Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Ukraine

Mashirikak ya UN na wadau wake wanatoa misaada kwa watu walioathiriwa na mapigano mapya huko Lviv
© UNOCHA/Allaham Musab

UN yazindua ombi la dola bilioni 4.2 kwa ajili ya kuwasaidia Waukraine

Takriban miaka miwili sasa tangu majeshi ya Urusi yaanzishe "vita kamili na kuikalia Ukraine, amesema leo mkuu wa Umoja wa Mataifa wa misaada ya kibinadamu na masuala ya dharura Martin Griffiths akitoa ombi la dharura la pamoja na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR la dola bilioni 4.2 ili kuwasaidia walio hatarini nchini Ukraine.

Olga (kushoto) akiwa na mbwa na mtoto wake, waathirika wa vita inayoendelea nchini Ukraine.
UNHCR Video

Bila UNHCR sijui ningekaa wapi: Olga muathirika wa vita Ukraine

Kutana na Olga mwathirika wa vita inayoendelea nchini Ukraine ambaye baada ya nyumba yake kushambuliwa na kombora mjini Borodyanka alikataa tamaa ya Maisha lakini sasa mradi wa UNHCR wa kukarabati nyumba zilizoharibiwa na vita Ukraine umemfufulia matumaini ya Maisha yeye na mwanaye “Katika maisha mambo hayawezi kuwa mteremko tu, kuna wakati unapitia magumu na ukiwa na uvumilivu utayashinda.

Sauti
3'9"