Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Makala Maalum

Mtoto mwenye umri wa miezi 7 huko Tigray Magharibi nchini Ethipia akila biskuti yenye virutubisho kwa lengo la kuboresha afya yake.
© UNICEF/Esiey Leul Kinfu

Watoto 33,000 hatarini kufa nchini Ethiopia- UNICEF

Takriban watoto 33,000 katika eneo ambalo halifikiki la Tigray nchini Ethiopia wana utapiamlo mkali na wanakabiliwa na vifo iwapo msaada wa haraka hautapatikana, imesema taarifa ya Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF Henrietta Fore iliyotolewa leo jijini New York, Marekani. 

 

 

Chanjo ya COVID-19 ikisafirishwa na mtumbwi kuelekea kisiwa cha Bwama, moja ya maeneo magumu kufikika katika wilaya ya Kabale Magharibi mwa Uganda
© UNICEF/Catherine Ntabadde

WHO yatiwa hofu na awamu nyingine ya COVID-19 Afrika 

Shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani WHO limeonya kuwa hospitali barani Afrika ziko hatarini kuelewa na wagonjwa wa virusi vya Corona au COVID-19 wakati huu ambapo upelekaji wa chanjo barani humo unasuasua huku majira ya baridi yakitishia kusambaa kwa kasi kwa virusi hivyo.