Neno la Wiki- Uliza usiogope, kuuliza si ujinga
Mchambuzi wetu Ken Walibora, mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya anafafanua methali isemayo Uliza usiogope, kuuliza si ujinga
Mchambuzi wetu Ken Walibora, mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya anafafanua methali isemayo Uliza usiogope, kuuliza si ujinga
Katika Neno la wiki la leo Ijumaa 17-08-2018 Onn Sigalla kutoka baraza la Kiswahili Tanzania BAKITA , anachambua neno Ukoo.
Mchambuzi wetu Ken Walibora, mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya anafafanua methali isemayo Kutoa ni moyo usambe ni utajiri.
Katika Neno la wiki la leo Ijumaa 17-08-2018 Onn Sigalla kutoka baraza la Kiswahili Tanzania BAKITA , anachambua neno Shinda.
Katika Neno la wiki tuko nae Ken Waibora, mwana riwaya na mwanachama wa chama cha kiswahili cha kitaifa Kenya ,CHAKITA akichambua methali, Kitanda usichokillia hujui kunguni wake.
Katika neno la wiki hii leo, mchambuzi wetu Onni Sigalla ambaye ni Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anachambua neno Ngamia. Anasema neno hilo lina zaidi ya neno moja ila maana moja tu ndio inajulikana.
Ijumaa ya leo mchambuzi wetu wa neno la wiki ni Ken Walibora ambaye ni mwana riwaya na mwanachama wa Chama cha Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA. Anachambua methalo isemayo, 'Jungu kuu halikosi ukoko'. Kwa mujibu wa Walibora jungu kuu ni wazee na kawaida hawakosi maarifa, pata uchambuzi kamili hapa.
Katika neno la wiki leo,mchambuzi wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anatuchambulia neno KITANDA. Anasema neno hilo kawaida watu hujua maana moja tu na kuelezea.
Ijumaa ya leo mchambuzi wetu wa neno la wiki ni Ken Walibora ambaye ni mwana riwaya na mwanachama wa Chama cha Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA. Anachambua methalo isemayo "joka la mdimu hulinda watundao." Je wewe ni joka la mdimu? Walibora anasema kuwa joka la mdimu ni wale walindao vitu ambavyo mwisho wa siku wala hawawezi kuvitumia. Kwa ufafanuzi wa kina ungana naye.
Katika neno la wiki hii leo, mchambuzi wetu Onni Sigalla ambaye ni Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anachambua neno HABA. Anasema neno hilo mara nyingi huchanganywa na SI na kusomeka kuwa neno moja SIHABA. Hivyo anasema katu si hivyo. Si haba. Anaenda mbali akifafanua visawe vya neno hilo