22 Juni 2018
Katika neno la wiki hii leo mchambuzi wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania BAKITA anafafanua neno “Budi”, Ungana naye...
Katika neno la wiki hii leo mchambuzi wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania BAKITA anafafanua neno “Budi”, Ungana naye...
Na katika neno la wiki mchambuzi wetu Ken Walibora ambaye ni mwana riwaya na mwanachama wa Chama cha Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA anaaelezea maana ya methali, usiache mbachao kwa msala upitao.
Katika neno la wiki hii leo mchambuzi wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania BAKITA anafafanua neno “Uzio”, Ungana naye...
Na katika neno la wiki mchambuzi wetu Ken Walibora ambaye ni mwana riwaya na mwanachama wa Chama cha Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA anaaelezea maana ya methali, mwenda tezi na omo arejeo ngamani.
Katika neno la wiki hii leo mchambuzi wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania BAKITA anafafanua neno “Upako”, Ungana naye...
Katika neno la wiki Mchambuzi wetu Onni Sigalla kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania BAKITA anafafanua neno “Faragha”, Ungana naye...
Katika Neno la Wiki hii leo tunaangazia neno “Mtambuka” na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi, katika Baraza la Kiswahili la Taifa, BAKITA, nchini Tanzania.
Bwana Sigalla anasema ili kupata maana ya neno Mtambuka, lazima tuachambue maana ya neno "Tambuka", ungane naye upate huo uchambuzi, kisha upate kufahamu maana ya Mtambuka..
Tujifunze Kiswahili, je wafahamu neno "Simulina maana ngapi? Ungana na mchambuzi wetu Onni Sigalla, mhariri mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la taifa nchini Tanzania BAKITA akizifafanua.
Katika Neno la Wiki hii leo tunaangazia neno “Mkumbizi” na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi, katika Baraza la Kiswahili la Taifa, BAKITA, nchini Tanzania.
Bwana Sigalla anasema neno hili lina maana zaidi ya moja, kwanza mtu anayesafisha mahali na kuondoa takataka, watu wengi wanamuita mfanyakazi lakini neno sahihi ni Mkumbizi. Pili ni mtu afuataye wavunaji shambani na kuokota mavuno yaliyosalia kwa bahati na kutumia kama chakula chake.