Neno la wiki- Ngamia na Onni Sigalla
Pakua
Katika neno la wiki hii leo, mchambuzi wetu Onni Sigalla ambaye ni Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anachambua neno Ngamia. Anasema neno hilo lina zaidi ya neno moja ila maana moja tu ndio inajulikana.
Audio Credit
Patrick Newman/Onni Sigalla
Audio Duration
51"