Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno la wiki- Ngamia na Onni Sigalla

Neno la wiki- Ngamia na Onni Sigalla

Pakua

Katika neno la wiki hii leo, mchambuzi wetu Onni Sigalla ambaye ni Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anachambua neno Ngamia. Anasema  neno hilo lina zaidi ya neno moja ila maana moja tu ndio inajulikana.

Audio Credit
Patrick Newman/Onni Sigalla
Audio Duration
51"
Photo Credit
UN News Kiswahili