Neno la Wiki-Kitanda na Onni Sigalla
Pakua
Katika neno la wiki leo,mchambuzi wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anatuchambulia neno KITANDA. Anasema neno hilo kawaida watu hujua maana moja tu na kuelezea.
Audio Credit
Onn Sigala
Audio Duration
55"