Joka la mdimu hulinda watundao
Pakua
Ijumaa ya leo mchambuzi wetu wa neno la wiki ni Ken Walibora ambaye ni mwana riwaya na mwanachama wa Chama cha Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA. Anachambua methalo isemayo "joka la mdimu hulinda watundao." Je wewe ni joka la mdimu? Walibora anasema kuwa joka la mdimu ni wale walindao vitu ambavyo mwisho wa siku wala hawawezi kuvitumia. Kwa ufafanuzi wa kina ungana naye.
Audio Credit
Assumpta Massoi-Ken Walibora
Audio Duration
1'3"