Jungu kuu halikosi ukoko
Pakua
Ijumaa ya leo mchambuzi wetu wa neno la wiki ni Ken Walibora ambaye ni mwana riwaya na mwanachama wa Chama cha Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA. Anachambua methalo isemayo, 'Jungu kuu halikosi ukoko'. Kwa mujibu wa Walibora jungu kuu ni wazee na kawaida hawakosi maarifa, pata uchambuzi kamili hapa.
Audio Credit
Siraj Kalyango/Ken Walibora
Audio Duration
58"