Kutoa ni moyo wala si utajiri
Kutana na mama Shamsa Abdilahi, yeyé na mumewe walikuwa wakimbizi kutoka Somalia ambao wameishi Uingereza kwa miaka kadhaa. Ametambua umuhimu wa kusaidia alipokuwa na mahitaji, na akaahidi kurejea nyumbani mambo yatakapokaa sawa ili kurejesha hisani.