Ngoma ya vinyago yainyanyua Cote d'Ivoire
Utamaduni ni kielelezo cha utashi wa kila jamii ambapo kupitia utamaduni huo jamii hujielezea ilivyo na kujitambulisha pia kwa jamii zingine. Nchini Cote d' Ivoire katika jamii ya Guro, ngoma yao inayotumia vinyago imekuwa na manufaa kwa jamii na nchi nzima hadi kutambuliwa na Umoja wa Mataifa. Je ni ngoma ya aina gani? Ungana basi na Assumpta Massoi kwenye makala hii.