Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Matumizi ya tumbaku na athari zake

Matumizi ya tumbaku na athari zake

Pakua

Maadhimisho ya mwaka huu ya siku ya kupinga matumizi ya tumbaku yanataka kila mtu kuepusha moshi wa sigara ambapo shirika la afya ulimwenguni, WHO limekuja na maudhui, usikubali tumbaku  ichukue pumzi yako. Kwa mantiki ya kwanza waangazia madhara ya moshi wa sigara kwenye mapafu na kadhalika. Makala imejikita katika uraibu wa matumizi ya tumbaku na madhara yake huku wachangaiji wa leo wakiwa nchini Tanzania ambapo Patrick Newman ametuandalia makala ifautayo 

Audio Credit
Patrick Newman
Audio Duration
5'1"
Photo Credit
UN News/Yasmina Guerda