Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kiswahili chazidi kupasua mawimbi ya bahari na mawingu hata ughaibuni

Kiswahili chazidi kupasua mawimbi ya bahari na mawingu hata ughaibuni

Pakua

Kiswahili! Kiswahili! Kiswahili! Kinazidi kupasua mawimbi ya bahari na mawingu na kuwa kivutio siyo tu kwa watu wazima bali pia watoto wadogo tena ughaibuni.

Huyu ni Braydon Bent, mchambuzi wa soka pengine mdogo zaidi barani Ulaya akijinasibu kwa lugha ya Kiswahili na kuleta msisimko mkubwa kwa mashabiki wake. Mwenzangu Arnold Kayanda amezungumza na mwalimu wa Kiswahil wa Braydon aitwae John Jackson hivi sasa mkazi wa Ujerumani akianza kwanza kwa kuelezea kilichomvutia na Kiswahili.

Audio Credit
Grace Kaneiya/Arnold Kayanda/ John Jackson
Audio Duration
5'43"
Photo Credit
UN News Kiswahili