16 Mei 2022
Katika jarida la Jumatatu Mei 16, 2022 na Leah Mushi
Mradi wa mafunzo wa ILO wawainua wafanyabiashara Turkana magharibi, Kenya
UNMAS yaendelea kunusuru maisha ya watu Sudan Kusini kwa kutegua mabomu ya kutegwa ardhini
Makala ni kutoka Dar es Salaam Tanzania ambako Philbert Alexander wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa ameingia katika mitaa ya Dar es Salaam kuzungumza na baadhi ya wasichana na wanawake kuhusu namna wanavyouelewa usawa wa kijinsia.