Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

10 Mei 2022

10 Mei 2022

Pakua

Hii leo jaridani siku ya Jumanne ni Mada kwa Kina na tunakupeleka Kenya kufuatilia majaribio ya chanjo dhidi ya Malaria na mwenyeji wetu huko ni Thelma Mwadzaya. Lakini kuna habari kwa ufupi tukimulika Syria, Ukoma na matumizi ya mtandao katika kuuza pombe kutoka nchi moja hadi nyingine. Mashinani tunakwenda Moldova, karibu na anayekusomea jarida la leo ni Grace Kaneiya.

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
11'41"