Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

09 Mei 2022

09 Mei 2022

Pakua

Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani MONUSCO na shirika la kiraia liitwalo COMOA wameshirikiana kuimarisha usalama Goma, DRC.

Mradi wa Merankabandi wa UNICEF Burundi na Benki ya Dunia wanufaisha wanajamii.

Makala tutaelekea Sudan na upande wa mashinani kuangazia namna mradi wa kukabiliana na ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana na wanawake umeleta mabadiliko katika jamii.

Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
12'23"