28 Machi 2022
Pakua
Jaridani Machi 28, 2022 na Leah Mushi tutaelekea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kumulika changamoto za maji kwenye makambi ya wakimbizi. Pia tutasikia habari kwa ufupi zikiangazia, silaha za vilipuzi, hali ya watoto nchini Syria na ukiukwaji wa haki nchini Libya.
Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
12'54"