25 MACHI 2022
Pakua
Jaridani Machi 25, 2022 na Flora Nducha
Tunaanza na habari kwa ufupi kisha mada kwa kina ambapo leo tutaelekea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kukutana na mpiganaji wa zamani wa msitu ambaye sasa ameajiriwa na Umoja wa Mataifa. Na ikiwa IJumaa tutajifunza kiswahili
Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
15'24"