Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

25 MACHI 2022

25 MACHI 2022

Pakua

Jaridani Machi 25, 2022 na Flora Nducha 

Tunaanza na habari kwa ufupi kisha mada kwa kina ambapo leo tutaelekea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kukutana na mpiganaji wa zamani wa msitu ambaye sasa ameajiriwa na Umoja wa Mataifa. Na ikiwa IJumaa tutajifunza kiswahili

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
15'24"