Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

29 Machi 2022

29 Machi 2022

Pakua

Watoto 330,000 Somalia hatarini kufariki dunia kutokana na unyafuzi- UNSOM

WHO yatoa huduma za matibabu na usaidizi wa kisaikolojia kwa wakimbizi wa Ukraine

Msichana Manuela Christine kinara wa kuhamasisha wasichana kubaki katika shule Uganda

Makala ni mafunzo kuhusu ulinzi wa mazingira

Katika mashinani tutasikia kutoka kwa mkurugenzi mkuu mpya wa ILO.

Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
14'16"