Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

22 Machi 2022

22 Machi 2022

Pakua

Yaliyomo Jaridani la Jumanne Machi 22, 2022- Ujenzi wa mabwawa waboresha maisha ya wakulima wa mbogamboga nchini Rwanda.

-Sindano mpya ya Cabotegravir kutusaidia kukinga wengi dhidi ya VVU:UNITAID.

-UNHCR inahitaji dola bilioni 1.2 kwa ajili ya ktoa msaada kwa wakimbizi milioni 2.3.

Makala imeangazia mjadala wa wakulima wadogo wadogo kutoka Afrika.

Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
14'28"