22 Machi 2022
Pakua
Yaliyomo Jaridani la Jumanne Machi 22, 2022- Ujenzi wa mabwawa waboresha maisha ya wakulima wa mbogamboga nchini Rwanda.
-Sindano mpya ya Cabotegravir kutusaidia kukinga wengi dhidi ya VVU:UNITAID.
-UNHCR inahitaji dola bilioni 1.2 kwa ajili ya ktoa msaada kwa wakimbizi milioni 2.3.
Makala imeangazia mjadala wa wakulima wadogo wadogo kutoka Afrika.
Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
14'28"