Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Agosti 26 2021

Agosti 26 2021

Pakua

Katika jarida hii leo Grace Kaneiya anakuletea taarifa kutoka Afghanistan ambapo WFP inaeleza kukabiliwa na uhaba wa chakula. 

Pia utasikia UNMISS wanavyoenesha doria Sudan Kusini, na mkimbizi wa Ethiopia aliyepata fursa ya kwenda masomoni nchini Italia. 

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
12'33"