Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Agosti 25, 2021

Agosti 25, 2021

Pakua

Katika jarida hii leo utamsikia Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni Tedros Ghebreyesus akizungumzia udhalimu wa usambazaji chanjo Afrika na nini kifanyike.

Pia utasikia mengi ikiwemo wakimbizi kutoka Afghanistan wamewasili nchini Uganda 

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
11'58"