Jarida 30 Agosti 2021
Pakua
Katika jarida hii leo tutamsikia kwa kirefu Mhandisi Dkt.Alinda Mashiku, mwanamke Mtanzania anaye ng'ara katika kituo cha safari za anga cha Marekani NASA tawi la Goddard mjini Maryland lililojikita na ufuatiliaji wa safari za satellite.
Pia utasikia habari kwa ufupi zikiangazia misaada nchini Afghanistan.
Audio Credit
Grace Kaneiya