Jarida 24 Agosti 2021
Pakua
Hii leo katika jarida utasikia kuanza kwa mashindano ya kimataifa ya Olimpiki ya watu wenye ulemavu mjini Tokyo Japani yakihusisha washiriki wa michezo mbalimbali kutoka kila pembe ya dunia wakiwemo wakimbizi.
Pia utasikia kutoka Geneva Uswisi Baraza la Umoja wa Mataifa la haki za binadamu ambalo limetuma ujumbe kwa Taliban nchini Afghanistan
Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
13'45"