23 Agosti 2021
Pakua
Tuliyokuandalia hii leo kutoka Umoja wa Mataifa:
Tuna habari muhimu za siku na katika mada yetu kwa kina tutaelekea nchini Kenya kukutana na manusura wa shambulio la bomu la Kenya la mwaka 1998.
Na Katika mashinani, leo tutaelekea nchini Tanzania kusikia kuhusu midahalo inayoandaliwa na asasi ya vijana wa Umoja wa Mataifa.
Audio Credit
Flora Nducha /Grace Kaneiya
Audio Duration
12'17"