Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida 19 Agosti 2021

Jarida 19 Agosti 2021

Pakua

Leo ni siku ya wahudumu wa masuala ya kibinadamu duniani ambao wako msitari wa mbele kusaidia kuokoa maisha ya watu walio hatarini zaidi duniani majanga yanapozuka, na kwa kufanya hivyo huweka rehani maisha yao kila uchao amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifaifa Antonio Guterres

Je umewahi kujiuliza ni kwa nini wakati mwingine misaada ya kibinadamu husambazwa kwa njia ya gharama zaidi ya ndege kudondosha misaada hiyo kutoka angani? 

Na Umoja wa Mataifa umetoa milioni 8 kusaidia nchi ya Haiti 

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
11'46"