Jarida 19 Agosti 2021
Pakua
Leo ni siku ya wahudumu wa masuala ya kibinadamu duniani ambao wako msitari wa mbele kusaidia kuokoa maisha ya watu walio hatarini zaidi duniani majanga yanapozuka, na kwa kufanya hivyo huweka rehani maisha yao kila uchao amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifaifa Antonio Guterres
Je umewahi kujiuliza ni kwa nini wakati mwingine misaada ya kibinadamu husambazwa kwa njia ya gharama zaidi ya ndege kudondosha misaada hiyo kutoka angani?
Na Umoja wa Mataifa umetoa milioni 8 kusaidia nchi ya Haiti
Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
11'46"