Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida 18 Agosti 2021

Jarida 18 Agosti 2021

Pakua

Katika jarida hii leo utasikia kuhusu uzinduzi wa mkakati wa Mabadiliko ya Kidigitali ya Ulinzi wa Amani wa Umoja wa Mataifa. Pia utasikia wakimbizi wa ndani nchini Somalia wanavyoteseka na njaa pamoja na utoaji chanjo kwa wakimbizi wa Rohingya huko kambini Coxs Bazar.

katika makala leo tunaangazia utunzaji wa mazingira kwa vijana nchini Rwanda. 

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
13'7"